News and Events Change View → Listing

MHESHIMIWA BALOZI S. KAGANDA AWASILISHA HATI ZA UTAMBULISHO MAURITIUS

Mheshimiwa CP- Suzan S. Kaganda, Balozi wa Tanzania nchini Mauritius, mwenye makazi yake mjini Harare, nchiniZimbabwe, amewasilisha Hati za Utambulisho kwa Mheshimiwa Dharambeer Gokhool, G.C.S.K, Rais wa…

Read More

MHESHIMIWA BALOZI KAGANDA ASHIRIKI MKUTANO WA MAWAZIRI WA AFYA NA FEDHA WA NCHI ZA SADC

Mhe. Suzan Kaganda, Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe, ameshiriki katika Mkutano wa Mawaziri wa Fedhana Afya wa SADC akimuwakilisha Mhe. Mohamed Mchengerwa (Mb), Waziri wa Afya wa Jamhuri ya Muungano wa…

Read More

BALOZI WA TANZANIA NCHINI ZIMBABWE APOKEA UJUMBE WA MANAIBU WAZIRI NA WATAALAM KWA AJILI YA MKUTANO WA SADC WA MASUALA YA FEDHA, UWEKEZAJI NA AFYA UNAOFANYIKA NCHINI ZIMBABWE

Mheshimiwa CP-Suzan S. Kaganda, Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe amepokea ujumbe wa Mheshimiwa Laurent Luswetula (Mb), Naibu Waziri wa Fedha na Mheshimiwa Dkt.Pius Chaya (Mb), Naibu Waziri-Ofisi ya…

Read More

KIKAO KATI YA MHESHIMIWA BALOZI SUZAN S. KAGANDA NA BW. MOSES NYONI, MTANZANIA ANAYEFANYAKAZI KWENYE TAASISI YA SOUTHERN AFRICAN RAILWAY ASSOCIATION

Mheshimiwa CP-Suzan Kaganda, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Zimbabwe amekutana kwa Mazungumzo na Eng. Moses Nyoni, Mtanzaniaanayeishi na kufanya kazi nchini Zimbabwe kwenye taasisi ya…

Read More

BALOZI KAGANDA AKUTANA NA MAKAMU WA RAISI WA ZIMBABWE

Tarehe 15 Aprili, 2026, Mheshimiwa Kanali Mstaafu Kembo Dugish Campbell Muleya Mohadi, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Zimbabwe, amekutana kwa mazungumzo na Mheshimiwa CP-Suzan S. Kaganda, Balozi wa Jamhuri ya…

Read More

BALOZI WA TANZANIA MHE. SUZAN S. KAGANDA AFANYA MAZUNGUMZO NA MHESHIMIWA JENERALI MSTAAFU PETER A.L NAMATHANGA BALOZI WA JAMHURI YA MALAWI NCHINI ZIMBABWE.

Tarehe 22 Agosti, 2025, Mheshimiwa Balozi Suzan S. Kaganda alikutana na Mheshimiwa Jenerali Mstaafu Peter A.L. Namathanga, Balozi wa Jamhuri ya Malawi nchini Zimbabwe na kujadiliana masuala mbalimbali ya…

Read More

UBALOZI WA TANZANIA MJINI HARARE WATEMBELEA MRADI WA GEO POMONA WASTE MANAGEMENT (PVT)

Tarehe 21 Agusti, 2025, Mhe. Balozi Suzan S. Kaganda akiongozana na timu ya Watumishi wa Ubalozi tulipata fursa ya kutembelea Mradi wa Geo Pomona Waste Management (PVT) Ltd uliyopo Harare.Mkurugenzi Mtendaji…

Read More

GAVANA WA BENKI KUU YA TANZANIA (BOT), EMMANUEL TUTUBA NA UJUMBE WAKE WATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA, HARARE-ZIMBABWE

Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT), Emmanuel Tutuba na ujumbe wake wametembelea Ubalozi wa Tanzania, Harare-Zimbabwe. Ziara hii imwefanyika wakati Gavana Tutuba na Ujumbe wake wakiwa ziarani nchini Zimbabwe…

Read More