TANZANIA NA ZIMBABWE KUIMARISHA USHIRIKIANO WA MAENDELEO YA PAMOJA
Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe, Mhe. CP Suzan S. Kaganda, amekutana na Waziri wa Masuala yaWanawake, Maendeleo ya Jamii, Biashara Ndogo na za Kati wa Zimbabwe, Mhe. Monica Mutsvangwa,katika Ofisi za Wizara hiyo mjini Harare,… Read More








